Artwork

Inhalt bereitgestellt von UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Alle Podcast-Inhalte, einschließlich Episoden, Grafiken und Podcast-Beschreibungen, werden direkt von UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations oder seinem Podcast-Plattformpartner hochgeladen und bereitgestellt. Wenn Sie glauben, dass jemand Ihr urheberrechtlich geschütztes Werk ohne Ihre Erlaubnis nutzt, können Sie dem hier beschriebenen Verfahren folgen https://de.player.fm/legal.
Player FM - Podcast-App
Gehen Sie mit der App Player FM offline!

UN: Lebanon inakabiliwa na zahma kubwa wakati mashambulizi ya Israel yakiendelea

2:01
 
Teilen
 

Manage episode 443547839 series 2027789
Inhalt bereitgestellt von UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Alle Podcast-Inhalte, einschließlich Episoden, Grafiken und Podcast-Beschreibungen, werden direkt von UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations oder seinem Podcast-Plattformpartner hochgeladen und bereitgestellt. Wenn Sie glauben, dass jemand Ihr urheberrechtlich geschütztes Werk ohne Ihre Erlaubnis nutzt, können Sie dem hier beschriebenen Verfahren folgen https://de.player.fm/legal.
Mashirikika ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa leo yameonya kwamba hali ya kibinadamu inazidi kuwa mbaya nchini Lebanon wakati mashambulizi ya anga ya Israel yakiendelea kushika kasi na kuwafungisha virago maelfu ya watu, wengi wakikimbia nchi jirani ya Syria ambako nako si shwari. Shirika la afya la Umoja wa Mataifa, WHO linasema hali nchini Lebanon ni janga la kibinadamu watu wengi wamejeruhiwa , wengine kupoteza maisha na mfumo wa afya umelemewa.Kupitia ukurasa wake wa X Mkurugenzi mkuu wa WHO Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema katika jitihada za kuwasaidia waathirika ndege ya kwanza ya msaada wa vifaa vya kitabibu vya upasuaji, dawa na vifaa tiba vingine imewasili mapema leo mjini Beiruti na vifaa hivyo vitatosha kuwatibu maelfu kwa maelfu ya watu na kuokoa maisha yao na ndege nyingine mbili zitawasili baadaye leo.Kwa upande wake Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limesema maelfu ya watu wanaendelea kukimbia mashambulizi ya makombora ya Israel na wengine wakivuka mpaka kwa miguu kuingia Syria kusaka uslama. Pamoja na kwamba linafanya kila liwezekanalo kuwasidia , limesema msaada zaidi unahitajika kukabiliana na wimbi la watu wanaoendelea kufurushwa.Wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa mjini Geneva wao “ Wamelaani vikali mashambulizi yanayotekelezwa kwenda Israel na makundi yenye silaha yasiyo ya kiserikali yaliyopo Lebanon ambayo yamesababisha watu 63,000 kutawanywa nchini Israel. Wamesema wahusika lazima wawajibishwe na watu waliotawanywa wapewe msaada na ulinzi.”Hata hivyo wamesisitiza kwamba“ Israel haiwezi kutumia uhalifu huo kama sababu ya kuhalalisha uhalifu wao nchini Lebanon unaojumuisha vitendo vya machafuko yenye lengo la kuleta hofu miongoni mwa raia wanaowashambulia.”Kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, chini ya muda wa mwezi mmoja idadi ya wakimbizi wa ndani nchini Lebanon imeongezeka mara tatu na zaidi ya watu 1,600 wameuawa na wengine takriban 346,000 kujeruhiwa wakiwemo watoto 127.
  continue reading

100 Episoden

Artwork
iconTeilen
 
Manage episode 443547839 series 2027789
Inhalt bereitgestellt von UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Alle Podcast-Inhalte, einschließlich Episoden, Grafiken und Podcast-Beschreibungen, werden direkt von UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations oder seinem Podcast-Plattformpartner hochgeladen und bereitgestellt. Wenn Sie glauben, dass jemand Ihr urheberrechtlich geschütztes Werk ohne Ihre Erlaubnis nutzt, können Sie dem hier beschriebenen Verfahren folgen https://de.player.fm/legal.
Mashirikika ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa leo yameonya kwamba hali ya kibinadamu inazidi kuwa mbaya nchini Lebanon wakati mashambulizi ya anga ya Israel yakiendelea kushika kasi na kuwafungisha virago maelfu ya watu, wengi wakikimbia nchi jirani ya Syria ambako nako si shwari. Shirika la afya la Umoja wa Mataifa, WHO linasema hali nchini Lebanon ni janga la kibinadamu watu wengi wamejeruhiwa , wengine kupoteza maisha na mfumo wa afya umelemewa.Kupitia ukurasa wake wa X Mkurugenzi mkuu wa WHO Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema katika jitihada za kuwasaidia waathirika ndege ya kwanza ya msaada wa vifaa vya kitabibu vya upasuaji, dawa na vifaa tiba vingine imewasili mapema leo mjini Beiruti na vifaa hivyo vitatosha kuwatibu maelfu kwa maelfu ya watu na kuokoa maisha yao na ndege nyingine mbili zitawasili baadaye leo.Kwa upande wake Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limesema maelfu ya watu wanaendelea kukimbia mashambulizi ya makombora ya Israel na wengine wakivuka mpaka kwa miguu kuingia Syria kusaka uslama. Pamoja na kwamba linafanya kila liwezekanalo kuwasidia , limesema msaada zaidi unahitajika kukabiliana na wimbi la watu wanaoendelea kufurushwa.Wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa mjini Geneva wao “ Wamelaani vikali mashambulizi yanayotekelezwa kwenda Israel na makundi yenye silaha yasiyo ya kiserikali yaliyopo Lebanon ambayo yamesababisha watu 63,000 kutawanywa nchini Israel. Wamesema wahusika lazima wawajibishwe na watu waliotawanywa wapewe msaada na ulinzi.”Hata hivyo wamesisitiza kwamba“ Israel haiwezi kutumia uhalifu huo kama sababu ya kuhalalisha uhalifu wao nchini Lebanon unaojumuisha vitendo vya machafuko yenye lengo la kuleta hofu miongoni mwa raia wanaowashambulia.”Kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, chini ya muda wa mwezi mmoja idadi ya wakimbizi wa ndani nchini Lebanon imeongezeka mara tatu na zaidi ya watu 1,600 wameuawa na wengine takriban 346,000 kujeruhiwa wakiwemo watoto 127.
  continue reading

100 Episoden

Alle Folgen

×
 
Loading …

Willkommen auf Player FM!

Player FM scannt gerade das Web nach Podcasts mit hoher Qualität, die du genießen kannst. Es ist die beste Podcast-App und funktioniert auf Android, iPhone und im Web. Melde dich an, um Abos geräteübergreifend zu synchronisieren.

 

Kurzanleitung